Resaka Herbal Point

Resaka Herbal Point Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Resaka Herbal Point, Medical and health, Urambo.

TIBA ASILI
21/10/2025

TIBA ASILI

MIMEA TIBA
21/10/2025

MIMEA TIBA

05/10/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Bashir Sani, Eriberto Tica, Dona Dumai, Yaser Shah, เฟรม' ฤทธิชัย, Baba Doley, Isackkaminyoge Isacka

LEO NAKUPA NAMNA YA KUFANYA ILI KUMJUA MBAYA WAKO.Ukweli ni kwamba huwezi kuishi bira ya kua na maadui na baadhi hufika ...
03/10/2025

LEO NAKUPA NAMNA YA KUFANYA ILI KUMJUA MBAYA WAKO.

Ukweli ni kwamba huwezi kuishi bira ya kua na maadui na baadhi hufika mbali zaidi kwa kukutendea mabaya haswa na mazito.

Waswahili husema kua mbaya wako atoki mbali ndio mbaya hatoki mbali pia ukimjua mbaya wako itakusaidia kujiepusha nae...... Twende kwenye somo..

Chukua kisamvu na uponde changanya na mwinula mdogo na majani 7 ya mbaazi funga kwenye kitambaa cheupe. Usiku ukitaka kulala tia nia weka kwenye chini au mchago unapoeka kichwa.

Naaam utakachokiona wala usizalau pia utaelewa vizuri tu maana utaoteshwa kwa uwazi.

NB: hii pia inaleta taarifa za mahusiano k**a mwenza anachepuka na ukiwa na waalimu kichwani ni neema maana utaona kwa uwazi zaidi na utachambuliwa moja moja.. Usizarau utakachoota.

RESAKA HERBAL POINT - Tumeandaa dawa maalumu yenye nguvu zaidi katika kujilinda/kujikinga kutoka kwa mashetani, majini, wanga pamoja na binadamu wabaya wenye kusda dhidi yako ama familia yako.

Kwa msaada zaidi fika katika kituo chetu ama unaweza kuwasiliana nasisi kwa simu namba 0769 591 285 .

Afya bora inaanza na wewe mwenyewe kuzingatia Lishe bora na matunzo ya mwili. Karibu resaka tukuhudumie 0769 591 285

🐜 TIBA ASILIA YA KUWAFUKUZA MCHWA NYUMBANIMchwa ni wadudu wadogo lakini wanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwenye nyu...
01/10/2025

🐜 TIBA ASILIA YA KUWAFUKUZA MCHWA NYUMBANI

Mchwa ni wadudu wadogo lakini wanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwenye nyumba, vitabu, fenicha na hata mazao ghalani.
Badala ya kutumia pesa nyingi kwenye kemikali, unaweza kutumia dawa rahisi inayopatikana nyumbani.

Jinsi ya Kuandaa ( kwa msaada zaidi 0769 591 285 )

✅ 1. Chukua majivu ya kuni safi.
✅ 2. Andaa maji yenye chumvi (kikombe kimoja cha chumvi kwa lita moja ya maji).
✅ 3. Saga majani ya mwarobaini na uchanganye na maji.

Jinsi ya Kutumia

🐜 Kwa mchwa ardhini/mashimoni:

Nyunyiza majivu moja kwa moja kwenye mashimo na njia wanazopita.

🐜 Kwa mchwa ndani ya mbao/fenicha:

Nyunyiza maji yenye chumvi sehemu zilizochimbwa na mchwa.

🐜 Kwa kinga ya muda mrefu:

Nyunyiza maji ya majani ya mwarobaini kila baada ya siku chache kwenye maeneo hatarishi.

✅✅✅

Faida

✔️ Ni rahisi kupatikana.
✔️ Ni salama kiafya.
✔️ Huwafukuza mchwa bila gharama kubwa.
✔️ Inaweza kutumika mara kwa mara bila madhara makubwa.

Endelea kuwa karibu na RESAKA pia fuatilia page zetu kupata elimu na mafunzo..

Karibu sana *Resaka Herbal Point*
0769 591 285

01/10/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Bashir Sani, Eriberto Tica, Dona Dumai, Rasal Mweendo, เฟรม' ฤทธิชัย, Baba Doley

FAIDA YA TANGO KATIKA MWILI WA BINADAMUMATANGO - si matunda mageni katika jamii ya Watanzania kwani hulimwa katika mikoa...
24/09/2025

FAIDA YA TANGO KATIKA MWILI WA BINADAMU

MATANGO - si matunda mageni katika jamii ya Watanzania kwani hulimwa katika mikoa mbalimbali na mengine kuagizwa kutoka nchi za nje, hivyo kufanya upatikanaji wake uwe mzuri katika masoko ya ndani.

Kihistoria,asili ya matango ni bara la Asia, hasa nchini India. Na matango yalianza kulimwa huko Asia zaidi ya miaka 3000 na baadae zao hilo kusambaa na kupokelewa vizuri na nchi za magharibi hasa Ufaransa katika karne ya tisa. Baadae Uingereza na Marekani walianza kulima zao hilo katika karne ya 14 na 16.

MATANGO yana uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali na kwa njia rahisi isiyokuwa na madhara kwa mtumiaji, pia matibabu yake ni rahisi yenye kumuwezesha kila mwanajamii kumudu gharama, kwani yamekuwa yakiuzwa kwa kwa bei nafuu sana.

Baadhi ya madini yanayopatikana katika matango ni :

** Calcium, ** Phosphorus,
** Potassium, ** Zink,
**Vitamin B, C na E.

Madini haya ni muhimu sana katika mwili wa binadamu na yanapopungua au kukosekana mwilini husababisha magonjwa mbalimbali k**a magonjwa ya moyo na saratani.

FAIDA ZA TANGO MWILINI ( 0769 591 285 RESAKA HP )

1. Madini ya Potassium yanayopatikana katika matango ndicho chakula cha moyo kwa sababu huwezesha moyo kupiga mapigo katika hali ya kawaida.

2. Ulaji wa matunda na vyakula vyenye kiwango kikubwa cha potassium - Husaidia mtu mwenye tatizo la moyo, shinikizo la chini la damu.

3. TANGO husaidia kupunguza kiwango cha rehemu, mafuta
yenye madhara mwilini, huimarisha misuli na pia husaidia usagaji wa chakula tumboni.

4. Pia husaidia katika mmeng`enyo wa chakula na Upatikanaji wa choo laini (kinyesi) kwa mtumiaji.

5. Virutubisho vilivyopo katika tango hutoa nafuu kawa mtu mwenye matatizo ya ini, kongosho, figo na matatizo katika kibofu cha mkojo.

6. Watalamu wetukutoka RESAKA HERBAL POINT wanatueleza kuwa tango lina kirutubisho kinachojulikana k**a �erepsin�

Ambacho husaidia uzalishaji wa �amino acids� ambayo ni muhimu kwa uzalishaji wa protini mwilini.

7. Vile vile tango lina kiwango kikubwa cha vitamin C hivyo kuwa na uwezo mkubwa wa kuondoa matatizo yatokanayo na ukosefu wa vitamin hiyo, k**a vile fizi kuvuja damu, upunguvu wa damu kwa watoto wachanga na kuota meno na mifupa vibaya.

8. Kinga ya Saratani Pengine faida kubwa kuliko zote unazoweza kuzipata kwa kula tango au juisi yake mara kwa mara ni kinga dhidi ya saratani za aina mbalimbali.

Jambo hili linalotokana na ukweli kuwa tango lina kiwango kikubwa cha uchachu �alkaline�, na kufanya seli za saratani kuwa katika mazingira magumu ya kusambaa mwilini, kwani kwa kawaida seli za saratani haziwezi kuishi kwenye mazingira zenye uchachu. Hivyo ni vyema kujijengea mazoea ya kula matango mara kwa mara.

KITUOC HA AFYA TIBA ASILI CHA RESAKA HERBAL POINT tutaendelea kuelimishana na kupeana faida mbalimbali za Matunda, Mimea, Mbogamboga pamoja na uoto wa asili unaotuzunguuka.

Kwa Maelezo zaidi piga simu leo 0769 591 285
- Kwa Ushauri
- Kwa Matibabu
- Kwa uhitaji wa dawa
- K wa masomo na kupeana elimu juu ya tiba na Afya bora

USISITE KUPIGA SIMU AU KUTEMBELEA KURASA ZETU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII. 0769 591 285

*Tatizo macho kutoa tongotongo au uchafu na kuona kwa shida.*+255769591285 📞```Macho yanapotoa uchafu wa njano (matongot...
22/09/2025

*Tatizo macho kutoa tongotongo au uchafu na kuona kwa shida.*

+255769591285 📞

```Macho yanapotoa uchafu wa njano (matongotongo), mara nyingi huashiria maambukizi ya bakteria k**a vile :

*conjunctivitis ya bakteria (bacterial conjunctivitis)*. Kabla ya kutumia dawa, hakikisha unakuwa musafi kwenye macho ili uweze kuzuia kuenea kwa maambukizi...

♦️ Dawa zinazoweza kukusaidia

1. Maji ya chumvi kidogo .

- Changanya nusu kijiko cha chumvi kwenye kikombe cha maji safi ya uvuguvugu.
- Tumia pamba au kitambaa laini kusafisha macho kwa taratibu mara 2–3 kwa siku.
- Hii husaidia kuondoa uchafu na kupunguza bakteria.

2. *asali Mbichi l*
- Tumia matone machache ya asali iliyochanganywa na maji ya uvuguvugu (safi).
- Osha macho kwa taratibu au paka nje ya macho tu.
- Asali ina antibiotic ya asili...

3. *Maji ya majani ya chai hayo ya ni****ne* mfano chai bora
- Chemsha majani ya chai na acha yapoe.
- Tumia kitambaa safi au pamba kulowesha na kuweka kwenye macho kwa dakika 5–10.
- Hii Husaidia kuondoa uvimbe k**a macho yanaanza kuvimba .

4. *Aloe Vera /Mshubiri*
- Chukua jeli safi kutoka kwenye aloe vera halisi.
- Changanya na maji kidogo na paka nje ya macho (usiiweke moja kwa moja ndani).
- Inapunguza uvimbe, muwasho na bakteria.
Au unaweza ukawa unaweza tone moja au mawili kwa kila jicho asb na jion kww mda wa siku

5. Weka Matone matatu ya maziwa ya mama anayenyonyesha kila jicho mara tatu kwa siku.
6.Kwa Tiba Asili na Ushauri```

KARIBU TUKUHUDUMIE
RESAKA HERBAL POINT
+255782301401 📞

♦️UKAVU UKENI♦️+255769591285 📞Ni hali ambayo uke hauzalishi majimaji ya kutosha ukeni, hali ambayo inaweza kusababisha m...
10/09/2025

♦️UKAVU UKENI♦️

+255769591285 📞

Ni hali ambayo uke hauzalishi majimaji ya kutosha ukeni, hali ambayo inaweza kusababisha maumivu, na michubuko wakati wa kujamiiana.

♦️SABABU ZA UKAVU UKENI ♦️
Zifuatazo ni sababu kadhaa zinazoweza kuchangia tatizo la ukavu ukeni :-

♦️Mabadiliko Ya Homoni.

Mabadiliko ya homoni huweza kuchangizwa na:-
1. Ukomo Wa Hedhi (Menopause).
Mabadiliko ya homoni yanayotokea wakati wa ukomo wa hedhi (menopause) husababisha kupungua kwa uzalishaji wa homoni za estrogen, ambazo zinahusika na kusaidia uke kuzalisha majimaji ya ukeni. Hali hii inaweza kusababisha ukavu ukeni.

2. Ujauzito
Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito yanaweza kusababisha ukavu ukeni kwa baadhi ya wanawake.

3. Matumizi Ya Dawa Za Uzazi Wa Mpango.
Baadhi ya aina za dawa za uzazi wa mpango zinaweza kusababisha mabadiliko katika uzalishaji wa homoni na kusababisha ukavu ukeni.

♦️Dawa na Matibabu.

Matumizi ya dawa fulani, k**a vile antihistamines, dawa za kusimamisha homoni, na dawa za chemotherapy, zinaweza kusababisha ukavu wa uke k**a moja ya athari zake.

♦️Msongo Wa Mawazo Na Wasiwasi.

Msongo wa mawazo na wasiwasi unaweza kusababisha kubadilika kwa kiwango cha homoni mwilini na hivyo kusababisha ukavu wa uke.

♦️Kujamiiana bila Maandalizi.

Kujamiiana bila kumuandaa mwanamke ili kujenga mazingira ya hamu (hisia za kujamiiana) kunaweza kusababisha ukavu wa uke.

♦️Matatizo ya Kiafya.

Baadhi ya matatizo ya kiafya k**a vile endometriosis, maambukizi ya ukeni, na autoimmune disorders yanaweza kusababisha ukavu wa uke.

♦️Kunyonyesha
Wanawake wanaonyonyesha wanaweza kupata ukavu wa uke kutokana na mabadiliko ya homoni yanayohusiana na kunyonyesha.

♦️Utumiaji wa Sabuni na Bidhaa za Kuosha Uke.

Matumizi ya sabuni zenye kemikali nyingi au bidhaa za kuosha uke zinaweza kusababisha ukavu wa uke kwa kusababisha mabadiliko katika usawa wa pH ya uke.

♦️Matibabu Ya Mfumo Wa Njia Ya Mkojo.

Baadhi ya matibabu ya mfumo kwa matatizo ya njia ya mkojo yanaweza kusababisha uk

SEHEMU YA PILI KUHUSU BAWASILI*DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI* Dalili za bawasiri kawaida hutegemea aina ya Bawasiri *BAW...
10/09/2025

SEHEMU YA PILI KUHUSU BAWASILI

*DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI*

Dalili za bawasiri kawaida hutegemea aina ya Bawasiri

*BAWASIRI YA NJE*

Hizi ziko chini na nje ya ngozi karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa. Ishara na dalili zinaweza kujumuisha:

1. Kuwasha katika maeneo yaliyozunguka sehemu ya haja kubwa
2. Maumivu au usumbufu
3. Kuvimba kuzunguka sehemu ya kutolea haja kubwa
4. Mara nyingine yaweza Kuvuja damu au k**a michubuko
5. Kutokwa na kinyama baada ya kwenda haja.

*BAWASIRI YA NDANI*

Bawasiri ya ndani iko ndani ya sehemu ya kutolea haja. Kawaida huwezi kuziona au kuzihisi, na mara chache husababisha usumbufu. Lakini kukaza au kuwasha wakati wa kupitisha kinyesi kunaweza kusababisha:

1. Kutoa haja/kinyesi chenye damu na maumivu yasiyo makali. Unaweza kuona kiasi kidogo cha damu nyekundu kwenye haja yako.
2. Maumivu na muwasho sehemu ya haja
0769 591 285

*JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA WA BAWASIRI*

Njia bora ya kuepuka/kuzuia bawasiri ni kuweka kinyesi chako laini, kwa hivyo hupita kwa urahisi. Ili kuzuia bawasiri na kupunguza dalili za bawasiri, fuata vidokezo hivi:

1. Kula vyakula Asilia kwa wingi. Kula matunda zaidi, mboga mboga na nafaka nzima(zisizokobolewa). Kufanya hivyo kunalainisha kinyesi na kuongeza wingi wake, ambayo itakusaidia kuepukana na shida inayoweza kusababisha bawasiri.

2. Kunywa maji mengi. Kunywa glasi sita hadi nane za maji (au lita 2~3) na vimiminika vingine k**a chai au juisi za matunda halisi (sio pombe) kila siku kusaidia kuweka kinyesi laini.

3. Kula virutubisho vya nyuzi. Watu wengi hawapati kiwango cha nyuzi kilichopendekezwa – gramu 20 hadi 30 kwa siku – katika lishe yao. Uchunguzi umeonyesha kuwa virutubisho vya nyuzinyuzi, k**a vile psyllium (Metamucil) au methylcellulose (Citrucel), huboresha dalili za jumla na kutokwa na damu kutoka kwa bawasiri.

4. Vuta pumzi kisha shikilia pumzi yako wakati wa kujaribu kupitisha kinyesi kutengeneza shinikizo kubwa kwenye mishipa kwenye shimo la kutolea kinyesi puru ya ch

*UTANGULIZI WA BAWASILI*  *Bawasiri ni uvimbe wa mishipa iliyo ndani na karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa au kwenye...
10/09/2025

*UTANGULIZI WA BAWASILI*

*Bawasiri ni uvimbe wa mishipa iliyo ndani na karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa au kwenye puru ya chini.*

Bawasiri huathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hasa utumbo mkubwa chini mwishoni.
Karibu asilimia 50 ya watu wazima hupata dalili za bawasiri na umri wa kawaida na hadi miaka 50 na zaidi.
0769 591 285

AINA YA BAWASILI

Bawasiri inaweza kuwa ya ndani au nje.

*Bawasiri za ndani* hua ndani ya sehemu ya haja kubwa au puru. Bawasiri ya nje huendelea nje ya sehemu ya kutolea haja kubwa. Bawasiri pia hujulikana k**a Marundo.

*Bawasiri ya nje* ni ya kawaida na yenye shida zaidi. Bawasiri husababisha maumivu, kuwasha hasa sehemu ya haja kubwa, na ugumu wa kukaa. Kwa bahati nzuri, zinatibika.
0769 591 285

*Hatua za bawasili ya ndani kulingana na madhara na ukubwa wake:*

1. Ni uvimbe mdogo kwenye ngozi inayotanda a**l ca**l kwa ndani.
Ni uvimbe ambao hauonekani au huwezi kuugusa kutokea nje. Bawasiri za aina hii huwapata watu wengi. Bawasiri hizi huweza kukua na kuingia kundi la pili.

2. Bawasiri hizi ni kubwa zaidi. Huweza kujitokeza na kuchungulia nje ya tundu la haja kubwa wakati ukijisaidia lakini hurudi ndani mara moja baadaye.

3. Bawasiri zinazoning’inia nje ya tundu la haja kubwa wakati ukielekea msalani. Unaweza kuvisikia k**a vinjinyama kimoja au zaidi vinavyoning’inia nje ya tundu. Ni vijinyama ambavyo unaweza kuvisukumizia ndani kwa kidole.

4: Ni vijinyama ambavyo huning’inia wakati wote nje ya tundu la haja kubwa na huwezi kuvisukumizia kwa ndani kwa kidole. Mara nyingine vinaweza kuwa vibonge vikubwa vya nyama.

Fuatilia somo hili sehemu ya pili.

*RESAKA HERBAL POINT*_Kwa Tiba Asili na Ushauri__TUPO TABORA MJINI__CHEMCHEM BARABARA YA SALIMINI - MTAA WA MNUBI_ *USIP...
10/09/2025

*RESAKA HERBAL POINT*
_Kwa Tiba Asili na Ushauri_
_TUPO TABORA MJINI_
_CHEMCHEM BARABARA YA SALIMINI - MTAA WA MNUBI_

*USIPAMBANE SANA KUFANYA MAZOEZI ILHALI BADO MLO WAKO NI MBOVU*

```Mazoezi ni mazuri kwa afya lakini mazoezi hayamkingi mtu na magonjwa yatokanayo na lishe.

Embu angalia mfano mdogo Mzee anaeshika jembe(mkulima) ni Moja ya mazoezi lakini Kuna wazee wangapi Wana Sukari nani unamjua au PENGINE ni wewe lakini una pressure.

♦️ Unajua kwanini!!!?
Mazoezi yenye matokeo chanya kiafya huenda sambamba na uzingatiaji wa Hali ya juu wa chakula unachokiingiza kinywani mwako .

Hakuna kitu maishani mwako hutokea bila kuwa na sababu matokeo ya afya yako ni uchaguzi mambo ambayo umeyafanya juu ya afya ya afya yako


K**a unafanya makosa haya unapokua jikoni mazoezi unayoyafanya ni k**a buruduni tu kwenye mwili wako.

♦️Kosa 1
Unaamini kwenye sahani yako bila kuwa na ngano, ugali au wali hautashiba
(Unakula Ili ushibe ).

♦️kosa 2
kumpika chakula kwa moto mkubwa Ili kiive sana ( unaamini k**a chakula akijapikwa sana basi akina ladha nzuri) virutubisho vyote vinapotea jikoni.

♦️kosa 3
kuweka Mafuta mengi kwenye chakula Ili kiwe na mvuto (uzuri wa chakula hausomwi kwa macho ila kwa wingi wa faida ndani ya mwili wa mlaji ).

♦️Kosa 4
Kurahisisha mambo kwa kuendelea kula *fast food*( umemaliza mazoezi alafu unaagiza chipsi yai ,pizza , burger ukiamini kesho utafanya mazoezi kuvitoa) ayo ni matumizi mabaya ya gym.

Jiulize!!

Aliekaa kwenye FAST FOOD alitaka kuficha Nini
( Hii ni biashara zinduka)

♦️Vipi k**a alikua na ukaribu na aliyeanzisha gym!!💪🏻

Umeshawai kukutana na ule msemo unasema kila kizuri akikosi kasoro?

♦️Msemo huu!!!
Hauna tofauti na sahani yako ya chakula k**a Kuna sahani ambayo inavutia machoni zaidi kuliko rohoni ujue.

Madhara yake ni makubwa ukilinganisha na faida yake

♦️Noted
The same unavyo pambana kunyanyua chuma gym hiyo nguvu itumie pia kubadilisha sahani yako ya mlo kwa kutokufanya hivyo ni sawa na unadeki kutumia tope .

Address

Urambo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Resaka Herbal Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram