AfyaTalk

AfyaTalk UZIMA NA FURAHA YAKO KWANGU NDIO KIPAUMBELE CHA KWANZA.

Nakushauri k**a.nilivyowashauri wenzio wakaitafuta, wakatumia na ikawasaidia.
14/12/2022

Nakushauri k**a.nilivyowashauri wenzio wakaitafuta, wakatumia na ikawasaidia.

09/12/2021
16/11/2021

Wasiliana nasi moja kwa moja what's app +255779158011 Kutatua changamoto inayokukabili

PUMU (ASTHMA) INATIBIKAUgonjwa hatari wa PUMU unatibika hata iwe sugu na ya muda mrefu kiasi Gani. "Wasikukatishe tamaa"...
03/11/2021

PUMU (ASTHMA) INATIBIKA

Ugonjwa hatari wa PUMU unatibika hata iwe sugu na ya muda mrefu kiasi Gani. "Wasikukatishe tamaa" kinachohitajika ni kupata tiba bora na yenye uhakika.

Wasiliana nasi kupata tiba itakayokusaidia kuondokana na ugonjwa huu unaokukosesha raha ya kupumua na kusababisha maumivu makali.

Unauwezo wa kuanza na nusu dozi ambayo utatumia kwa Siku 30 (ushauri unahitajika Ili kupata matokeo chanya)

Ndani ya siku 5 imeshakufikia ulipo na kuanza dozi.

HAYA NDIO MAGONJWA 9 TUNAYOKINGA NA KUTIBU.Kupitia Kampeni yetu ya AFYATALK inayosimamiwa na team ya washauri wa masuala...
18/08/2021

HAYA NDIO MAGONJWA 9 TUNAYOKINGA NA KUTIBU.

Kupitia Kampeni yetu ya AFYATALK inayosimamiwa na team ya washauri wa masuala ya kiafya (health consultants) yenye malengo 3.

1)Kutoa elimu kuhusu masuala ya Kiafya na chakula lishe.

2) Kukinga & Kutibu magojwa 9 hatari kwa kutumia tiba mbadala.

3) Kutoa ushauri kuhusu lishe bora.

Magonjwa tunayoyatibu na kukinga ni
*Presha ya kupanda (high blood pressure)
*Presha ya kushuka (low blood pressure)
*Pumu (arthma)
*Uvimbe katika shingo ya kizazi (fibroid)
*Kisukari (diabetes)
*Upungufu wa mbegu za uzazi (low s***m count)
*Mafuta mabaya mwilini and kitambi (bad cholesterol & bells)
*Kiharusi (stroke).
*Matatizo ya macho (eyes problems)

Zaidi ya miaka miwili sasa tumekuwa tukiwasaidia watu wenye changamoto za magonjwa hayo na kumekuwa na mafanikio makubwa kwa wale tunaowasaidia.

Bila shaka wewe hautakuwa wa mwanzo wala wa mwisho kusaidiwa na team yetu katika kutatua changamoto inayokusumbua kati ya hizo tulizozianisha hapo juu.

Kujiunga na group letu la WhatsApp tuma neno NIUNGE nami nitakufuata inbox kukutumia namba za admin aweze kukuunga. Watu 30 wa mwanzo wataunganishwa bure na wataobakia watachangia 1000/=

Kwa mawasiliano zaidi piga simu kupitia namba zifuatazo:-
+255779158011
+255772518981.

TUNATUMIA HEKMA, BUSARA NA UAMINIFU KUKUSAIDIA

Watu wanaendelea kuagiza dawa ili kutatua changamoto zao za kiafya. Save the date of orderOrder yako inakufika popote ul...
12/08/2021

Watu wanaendelea kuagiza dawa ili kutatua changamoto zao za kiafya. Save the date of order

Order yako inakufika popote ulipo. Kikubwa uaminifu tu

Kwa mawasiliano +255772518981

KWA NINI UTUMIE COMPLETE KILA SIKU???Binaadamu amekamilika baada ya hatua hizi 6 kukamilika.1) Kuumbwa wa DNA, Gens &   ...
30/07/2021

KWA NINI UTUMIE COMPLETE KILA SIKU???

Binaadamu amekamilika baada ya hatua hizi 6 kukamilika.

1) Kuumbwa wa DNA, Gens & ambavyo hupatikana katika seli na ndii vijenzi vikuu vya seli. Huu ndio utu wa mtu.

2) Kuumbwa seli za mwili: Seli hizi hupatika katika maeneo maeneo yote ya mwili isipokuwa katika Moyo.

3) Kuumbwa kwa tishu: Hivi ni vipande vidogo vidogo vya nyama vilivyopatina baada ya seli kushik**ana.

4) Kuumbwa kwa viungo: Muunganiko wa tishu mbalimbali ndio huzaa viungo vya mwili k**a vile mkono, pua, figo, inni, kongosho, sikio, mdomo, ulimi nk.

5) Kuubwa kwa mifumo: Muunganuko wa viungo hupelekea kuzakiwa kwa mifumo ambayo hufanya kazi kwa mashirikiano kwa mfano:- Mfumo wa upumuaji, mfumo wa hisia, mfumo wa mmeng'enyo wa chakula nk.

6) Kuumbwa wa kiwiliwili: Muunganiko wa mifumo yote ya mwili ndio humkamilisha binaadamu na kumuona katija umbile tunaloliona.

Na hivyo ndivyo mwanaadamu anavyopatikana.

Bakteria na Virusi vyote vya magonjwa huivamia seli mara tu vinapofika ndani ya mwili kwani vinaelewa kuwa celi ndio uhai wa mwanaadamu yoyote. Na vingi vyao vinapofika katika seli huanza kuiharibu DNA maana hii ndio gunzo mama ya uhai wa seli.

Seli inapoharibika basi uhai na afya yote ya mwanaadamu huharibika na kuuacha mwili kuwa k**a jumba bovu lisiloweza kujilinda. Hapo ndipo mtu huanza safari za kumuona daktari mara kwa mara. Tabia ambayo inawachosha na kuwanyuma furaha takriban watu wote.

Kwa kiasi kikubwa seli huharibiwa na mambo 2 makuu.

1) Mlo usiokamili (chakula kisicho bora): Hiki ni chakula kisichomuwezesha mtu kupata virutubisho vyote muhimu vinavyohitajika na mwili (vitamin, protein, carbohydrates, lipids). Vyakula hivyo humuwezesha mtu kulinda, kujenga na kukuza mwili.

2) Free redicals: Hizi ni single neutrons ambazo huelea kwenye hewa zinazotokana na mkandamizo mkubwa wa hewa, mionzi ya (jua, simu na umeme), moshi (sigara, mashine), stress, madawa ya mimea nk.

Kwa maisha yetu ya saiv ni ngumu sana kuupata mlo uliokamili kila siku maana ili kupata mlo uliokamili tunahitajika kula mbogamboga aina 5, matunda aina 5, nyama nyeupe (samaki & ndege), vyakula vya nafaka, nyama nyekundu (kwa uchache), na mayai kila siku.

Lakini pia ni vigumu kuepukana na free redicals maana vimegandamana na mzunguuko wetu wa maisha. Hali hii inatujengea picha ya kuwa hatuko salama hata kidogo hivyo ni lazima tupate visaidi kinga ili kuuwezesha mwili kupambana na bakteria na virusi maradhi.

Complete & C24/7 ndio imekuja kufanta kazi kubwa ya k

KWANINI MGONJWA WA PRESHA ATUMIE CHOLEDUZ & COMPLETE?PRESHA ni ugonjwa usioambukizwa ambao hutokana na moyo kupiga kusik...
23/07/2021

KWANINI MGONJWA WA PRESHA ATUMIE CHOLEDUZ & COMPLETE?

PRESHA ni ugonjwa usioambukizwa ambao hutokana na moyo kupiga kusiko kawaida.

Kwa kawaida mapigo ya moyo yanahitajika kuwa 80-72 (chini) 120 (juu). Ikiwa mapigo ya moyo yatakuwa chini au juu ya hapo zaid ya masaa 24 mtu huyo tutasema anatatizo la presha.

Presha imegawanyika sehemu 2 ambazo ni:-

👉🏽Presha ya kupanda (high blood pressure) mapigo ya moyo yako juu kuliko kawaida.

👉🏽Presha ya kushuka (low blood pressure) mapigo ya moyo yapo chini kuliko kawaida.

Kuna sababu nyingi zinazopelekea ugonjwa huu wa presha ikiwemo:-

👉🏽msongo wa mawazo
👉🏽mshtuko.

Lakini Sababu kubwa zaidi na ndio inayowasababishia watu wengi katika jamii yetu kuwa na ugonjwa huu hatari ni "UWEPO WA MAFUTA MABAYA MWILINI na UKOSEFU WA LISHE BORA" yanayotokana na mfumo wetu wa maisha.

Uwepo wa mafuta haya hupelekea mirija ya damu kuziba na kuacha nafasi ndogo sana. Hivyo damu hushindwa kupita kwa urahisi ili iweze kufika katika maeneo lengwa.

Hali hiyo hupelekea moyo kuongeza kasi ya usukumaji damu ili iweze kupita na kuweza kufika katika maeneo yaliyokusudiwa kwa kiwango kinachohitajika ili kuepusha matitizo mengine k**a Stroke kutokea.

Kitendo hicho cha moyo kuongeza kasi ya kuisukuma damu hupelekea mapigo ya moyo kuongezeka na ugonjwa wa presha ya kupanda kuzaliwa.

Wakati mwingine mafuta huenda kuuzunguuka moyo na kuufanya usiweze kutanuka na kusinyaa vizuri. Hali hii hupunguza uwezo wa moyo kupiga vizuri na kupelekea mapigo ya moyo kupungua hatimae ungojwa wa presha ya kushuka huzaliwa.

Hivyo basi ili kuondokana na tatizo hili la presha tunahitajika kuondosha mafuta hayo haraka iwezekanavyo kabla athari nyengine kubwa zaidi hazijatokea.

Kuna njia nyingi sana za kuondosha mafuta mwilini. Lakini njia nyepesi na ya haraka zaidi ni kutumia Omega 3 ambayo hupatikana kwa kiwango kikubwa zaidi katika mafuta yatokanayo na samaki wanaoishi bahari kuu.

Kwa kuwa kuna ugumu na gharama kubwa kuwapata samaki hawa. CHOLEDUZ imerahisisha zaidi kwani inatengenezwa kwa mafuta hayo tena kwa kiwango stahiki katika mwili. Na huchukuwa siku 30 tu kuondokana na changamoto hiyo ya mafuta mafuta mabaya mwili bila ya kuathiri afya ya mwili

Dozi inapatikana na itakufikia popote ulipo kwa gharama nafuu na tiba ya uhakika.

WENGI WALIOITUMIA WALIIFURAHIA NA KUSHUKURU SANA MAANA CHANGAMOTO YAO IMETATUKA.

SHARE & LIKE page hii ili huduma hii iwafike watu wengi zaidi

UZIMA NA FURAHA YAKO KWANGU NDIO KIPAUMBELE CHA KWANZA.

19/07/2021

NIMEDHAMIRIA KUWASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZAO ZA KIAFYA

Wahitaji wanaichangamkia fursa huu kutatua changamoto zao.

Nami naendelea kuwasaidia kwa kadri Allah alivyoniwezesha.

Kwa Mahitaji na maelezo zaidi wasiliana nami +255779158011.

SHARE & LIKE page hii ili huduma hii iwafike watu wwngu zaidi na kuwa wa mwanzo kupata taarifa zote zitakazotumwa kuhusu CHOLEDUZ.

UZIMA NA FURAHA YAKO KWANGU NDIO KIPAUMBELE CHA KWANZA.

KWANINI MGONJWA WA PRESHA ATUMIE CHOLEDUZ?PRESHA ni ugonjwa usioambukizwa ambao hutokana na moyo kupiga kusiko kawaida. ...
18/07/2021

KWANINI MGONJWA WA PRESHA ATUMIE CHOLEDUZ?

PRESHA ni ugonjwa usioambukizwa ambao hutokana na moyo kupiga kusiko kawaida.

Kwa kawaida moyo unahitajika kupiga mara 72 kwa sekunde. Ikiwa mapigo ya moyo yatakuwa chini au juu ya hapo zaid ya masaa 24 mtu huyo tutasema anatatizo la presha.

Presha imegawanyika sehemu 2 ambazo ni:-

👉🏽Presha ya kupanda (high blood pressure) mapigo ya moyo yako juu kuliko kawaida.

👉🏽Presha ya kushuka (low blood pressure) mapigo ya moyo yapo chini kuliko kawaida.

Kuna sababu nyingi zinazopelekea ugonjwa huu wa presha ikiwemo:-

👉🏽msongo wa mawazo
👉🏽mshtuko.

Lakini Sababu kubwa zaidi na ndio inayowasababishia watu wengi katika jamii yetu kuwa na ugonjwa huu hatari ni "UWEPO WA MAFUTA MABAYA MWILINI" yanayotokana na mfumo wetu wa maisha.

Uwepo wa mafuta haya hupelekea mirija ya damu kuziba na kuacha nafasi ndogo sana. Hivyo damu hushindwa kupita kwa urahisi ili iweze kufika katika maeneo lengwa.

Hali hiyo hupelekea moyo kuongeza kasi ya usukumaji damu ili iweze kupita na kuweza kufika katika maeneo yaliyokusudiwa kwa kiwango kinachohitajika ili kuepusha matitizo mengine k**a Stroke kutokea.

Kitendo hicho cha moyo kuongeza kasi ya kuisukuma damu hupelekea mapigo ya moyo kuongezeka na ugonjwa wa presha ya kupanda kuzaliwa.

Wakati mwingine mafuta huenda kuuzunguuka moyo na kuufanya usiweze kutanuka na kusinyaa vizuri. Hali hii hupunguza uwezo wa moyo kupiga vizuri na kupelekea mapigo ya moyo kupungua hatimae ungojwa wa presha ya kushuka huzaliwa.

Hivyo basi ili kuondokana na tatizo hili la presha tunahitajika kuondosha mafuta hayo haraka iwezekanavyo kabla athari nyengine kubwa zaidi hazijatokea.

Kuna njia nyingi sana za kuondosha mafuta mwilini. Lakini njia nyepesi na ya haraka zaidi ni kutumia Omega 3 ambayo hupatikana kwa kiwango kikubwa zaidi katika mafuta yatokanayo na samaki wanaoishi bahari kuu.

Kwa kuwa kuna ugumu na gharama kubwa kuwapata samaki hawa. CHOLEDUZ imerahisisha zaidi kwani inatengenezwa kwa mafuta hayo tena kwa kiwango stahiki katika mwili. Na huchukuwa siku 30 tu kuondokana na changamoto hiyo ya mafuta mafuta mabaya mwili bila ya kuathiri afya ya mwili

Bidhaa hii sasa inapatikana na itakufikia popote ulipo.

Kwa Mahitaji na maelezo zaidi wasiliana nami +255772518981.

SHARE & LIKE page hii ili huduma hii iwafike watu wwngu zaidi na kuwa wa mwanzo kupata taarifa zote zitakazotumwa.

UZIMA NA FURAHA YAKO KWANGU NDIO KIPAUMBELE CHA KWANZA.

UMUHIMU WA CHOLEDUZ KWA MWENYE KITAMBI & MANYAMA UZEMBEKwa 99% Kitambi na manayama uzembe husababishwa na uwepi wa mafut...
16/07/2021

UMUHIMU WA CHOLEDUZ KWA MWENYE KITAMBI & MANYAMA UZEMBE

Kwa 99% Kitambi na manayama uzembe husababishwa na uwepi wa mafuta mabaya yaliohifathiwa mwilini.

Bila ya kuyaondoa mafuta hayo utamaliza tiba bila ya mafanikio.

Kuna njia nyingi sana za kuondosha mafuta mwilini. Lakini njia nyepesi na ya haraka zaidi ni kutumia Omega 3 ambayo hupatikana kwa kiwango kikubwa zaidi katika mafuta yatokanayo na samaki wanaoishi bahari kuu.

Kwa kuwa kuna ugumu na gharama kubwa kuwapata samaki hawa. CHOLEDUZ imerahisisha zaidi kwani inatengenezwa kwa mafuta hayo tena kwa kiwango stahiki katika mwili.

Bidhaa hii sasa inapatikana na itakufikia popote ulipo.

Unatumia vidonge 2 tu kwa siku (ndani ya siku 45 tu).

Kwa Mahitaji na maelezo zaidi wasiliana nasi +255772518981. Au fuata link hii kwa mawasiliano ya Whatsapp
https://wa.me/message/MCG73JUOLO5LD1

SHARE & LIKE page hii ili huduma hii iwafike watu wwngu zaidi na kuwa wa mwanzo kupata taarifa zote zitakazotumwa.

UZIMA NA FURAHA YAKO KWETU NDIO KIPAUMBELE CHA KWANZA.

Address

Fuoni Meli Nne
Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaTalk posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaTalk:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram