01/07/2021
Mkurugenzi Mtendaji Tume ya kitaifa ya Kuratubu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya akitoa taarifa fupo ya dawa za Kulevya siku ya kupiga vita matumizi na usafirishaji wa dawa za Kulevya tarehe 26/062021 katika Ukumbi wa Idrissa Abdul Wakil
“Mkurugenzi Mtendaji Tume ya kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za Kulevya amemtaka Mhe: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi aridhie Tume kuwa Mamlaka ya udhibiti Dawa za Kulevya Ambapo itakuwa na uwezo wa kukama ,kufunga.”