AFYA UZAZI

AFYA UZAZI HEALT AND MEDICAL CARE

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7303aC1FuFk57fFp16
12/12/2025

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7303aC1FuFk57fFp16

Channel • 0 followers • Hello ! Habari unawasiliana na DR “MURTADHA”kutoka ETERNAL INTERNATIONAL HEALTH CARE

KARIBU NIKUSAIDIE HUDUMA KWA AFYA YAKO YA KILA SIKU 🌍

1.AFYA UZAZI KWA M/mke
MVURUGUKO WA HOMONI ( hormone balance)

2.AFYA UZAZI KWA M/me au M/mke
KUWEZA KURUDIA TENDO AU UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME UME KUSIMAMA LEGE LEGE

HUDUMA ZETU ni👇
1 KUONANA NA DOCTOR NI BURE
2 USHAURI WA DOCTOR NI BURE
3 KIPIMO MWILI MZIMA KWA BEI YA OFA MWEZI HUU (30000/=) tu👇

Pia Unaweza kufuatilia page yangu ya AFYA kwenye facebook link apo chini 👉 https://www.facebook.com/share/15GmWVFLJc4/?mibextid=wwXIfr 👈👇

https://www.facebook.com/share/1EcV246w7C/?mibextid=wwXIfr👈

Taarifa zote zitume hapa hapa

Ahsante 🙏

Mwenye kujali mafanikio yako ya Afya🏥

Dr MURTADHA 👨🫶

Kwa mawasiliano ya haraka piga 0714219739

CHANGAMOTO ya UGONJWA WA MTOTO WA JICHO kwa lugha nyingine CATARACT:-Hii hutokana na kufanyika kwa UKUNGU katika LENSI y...
24/11/2025

CHANGAMOTO ya UGONJWA WA MTOTO WA JICHO kwa lugha nyingine CATARACT:-

Hii hutokana na kufanyika kwa UKUNGU katika LENSI ya JICHO .

MTU aliye na UKUNGU huu KUONA kwake ni sawa na MTU anavyoona nje kupitia dirisha la KIOO lenye UKUNGU wa BARAFU au MAJI dirishani wakati MVUA inanyesha.

UKUNGU katika LENSI ya JICHO husababisha MTU kushindwa kufanya KAZI zake k**a kuendesha gari,kusoma sana hasa usiku au kuona nyuso za watu vyema. UKUNGU huu hutokea na kuendelea kufunika JICHO zima polepole kwa muda na hatimaye mtu hushindwa KUONA kabisa.

Kwa mara ya kwanza UKUNGU unapoendelea kutokea MTU anaweza kutumia MIWANI inayoweza kumsaidia kuona.Lakini baada ya muda fulani kupita, MTU anaweza ASIONE kabisa mpaka afanyiwe MATIBABU mengine ya UPASUAJI .

MATIBABU ya UPASUAJI kwetu SISI tunaona sio SALAMA sana maana unampatia mtu SULUHISHO la MUDA mfupi na inawezekana likajirudia tena maana mara nyingi haligusi katika VYANZO vilivyopelekea WEWE kupata TATIZO.

Hivyo basi kupitia UTENDAJI MZURI wa tiba zetu tunaweza kukupatia suluhisho la KUDUMU ili kuondokana na CHANGAMOTO ya UGONJWA .

KWANINI TUNASEMA TUNAWEZA ?
Jibu ni kwasababu tunaenda KUSHUGHULIKA na CHANZO cha TATIZO na mwisho kukufanya ufurahie MAISHA k**a awali.

AINA ZA MTOTO WA JICHO:-
Kuna AINA nne za MTOTO wa JICHO .
Hizi ni ile inayoathiri sehemu ya KATIKATI ya LENSI,PEMBEZONI ya LENSI,sehemu ya NYUMA ya LENSI na ile ya KUZALIWA nayo.
SABABU:-
Sababu zifuatazo huongeza UWEZEKANO wa MTU kupata maradhi ya MTOTO wa JICHO.

-Umri mkubwa
-Ugonjwa wa kisukari
-Unywaji wa pombe sana kupindukia
-Madhara ya mionzi ya sumu.
-Historia ya maradhi ya mtoto wa jicho kwenye familia.
-Shinikizo la damu la kupanda
-Uzito uliopindukia
-Na historia ya kufanyiwa upasuaji ama maradhi ya macho.
N.B:-
Aina ya mtotoI wa JICHO ya kuzaliwa nayo mara nyingi UONEKANA tangu MTOTO anapozaliwa au muda mfupi tangu KUZALIWA .Hii haisababishi MTOTO kushindwa KUONA kabisa kwasababu inaweza KUTIBIKA .
MTOTO huambukizwa kutokana na MAMA kumwambukiza MTOTO aliye TUMBONI kwake wakati wa UJAUZITO mfano ni SURUA ya ujerumano(Rubella),GALACTOSEMIA na maradhi ya MISULI ya MACHO .
MGONJWA mwenye maradhi haya ya KURITHI huweza KUONA vizuri tu. Piga 0714219739

Dalili za uvimbe kwenye kizazi (k**a *fibroids*, *cysts*, au uvimbe mwingine wa uzazi**) zinaweza kutofautiana kulingana...
24/11/2025

Dalili za uvimbe kwenye kizazi (k**a *fibroids*, *cysts*, au uvimbe mwingine wa uzazi**) zinaweza kutofautiana kulingana na ukubwa, mahali ulipo, na aina ya uvimbe. Dalili za kawaida ni:

1. *Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi*
2. *Hedhi kudumu muda mrefu kuliko kawaida*
3. *Maumivu ya tumbo chini au kiuno*
4. *Kushindwa kupata mimba (infertility)*
5. *Kukojoa mara kwa mara au kushindwa kuzuia mkojo*
6. *Kuhisi tumbo kujaa au kuvimba*
7. *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
8. *Kupata choo kigumu au matatizo ya haja kubwa*

Ikiwa unahisi dalili hizi, ni vyema kufanya uchunguzi wa kitaalamu k**a *ultrasound* ili kujua hali halisi. K**a unahitaji pia tiba mbadala ya virutubisho vya kusaidia mfumo wa uzazi, naweza kukushauri.
Piga 0714219739

Umeshawahi kutibiwa UTI mara 3 lakini inarudi? Hii ndiyo sababu halisi watu wengi hawajui.UTI ikirudi mara kwa mara sio ...
24/11/2025

Umeshawahi kutibiwa UTI mara 3 lakini inarudi? Hii ndiyo sababu halisi watu wengi hawajui.

UTI ikirudi mara kwa mara sio kwa sababu ya dawa mbaya, bali:
✓Unatumia antibayotiki bila kupima
✓Unakunywa maji kidogo
✓Kuna bacteria wamejenga resistance
✓Unatibu UTI lakini chanzo ni PID au fangasi
✓Unatumia sabuni kali sehemu za siri

Wagonjwa wengi ninaokutana nao UTI yao imeendelea hadi kwenye mfumo wa juu wa mkojo, ikihusisha figo (pyelonephritis), bila wao kutambua mapema.

Ni vyema kupata tiba na vipimo mapema kabla Hali haijawa mbaya. Mawasiliano 0714219739

Karibu tunaofa ya kipimo cha mwili mzima kukaguwa chanzo cha tatizo lako ushauri kwa doctor ni bure kuonana na doctor pi...
24/11/2025

Karibu tunaofa ya kipimo cha mwili mzima kukaguwa chanzo cha tatizo lako ushauri kwa doctor ni bure kuonana na doctor pia nibure kwa mawasiliano zaid ni 0714219739

Karibuni ofa ya kipomo mwili mzima ni elfu 30000/= Kuonana na doctor ni bure na ushauri ni bure mawasiliano zaid 0714219...
24/11/2025

Karibuni ofa ya kipomo mwili mzima ni elfu 30000/=
Kuonana na doctor ni bure na ushauri ni bure mawasiliano zaid 0714219739

Stroke Ni Nini? Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulan...
10/11/2025

Stroke Ni Nini?


Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua sana hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubishi muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa. Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo hilo ikiziba au mishipa ndani ya ubongo katika eneo hilo kupasuka. Seli za ubongo za eneo hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu au misuli. Kiharusi ni ugonjwa wa dharura hivyo tiba inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo. Kimsingi kiharusi huweza kumpata mtu ye yote wakati wo wote.
Mawasiliano zaid 0714219739

changamoto hiyo. Uvimbe kwenye ovari (ovarian cysts) ni tatizo linalowapata wanawake wengi, hasa walio katika umri wa ku...
14/10/2025

changamoto hiyo. Uvimbe kwenye ovari (ovarian cysts) ni tatizo linalowapata wanawake wengi, hasa walio katika umri wa kuzaa. Hapa chini ni elimu fupi kuhusu tatizo hilo:

*Sababu za Uvimbe kwenye Ovari*
1. *Mabadiliko ya homoni* – hasa wakati wa mzunguko wa hedhi.
2. *Endometriosis* – hali ambapo utando wa ndani ya mfuko wa uzazi hukua nje ya mfuko huo.
3. *Maambukizi ya njia ya uzazi* – hasa k**a hayajatibiwa kwa muda mrefu.
4. *Mimba* – wakati mwingine uvimbe hutokea mwanzoni mwa ujauzito.
5. *Polycystic O***y Syndrome (PCOS)* – hali ya kuwa na uvimbe mdogo mdogo mwingi kwenye ovari.

*Dalili za Uvimbe kwenye Ovari*
- Maumivu upande mmoja wa tumbo chini
- Kujaa au kuvimba tumboni
- Hedhi isiyo ya kawaida
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Maumivu ya mgongo au mapaja
- Kichefuchefu au kutapika

*Ushauri wa Afya*
- Fanya *vipimo hospitalini* k**a ultrasound kuthibitisha aina ya uvimbe.
- *Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari*, kula mboga za majani, matunda, na vyakula vyenye nyuzinyuzi.
- Punguza *msongo wa mawazo*.
- Fuata ushauri wa daktari kuhusu matibabu – wakati mwingine dawa hutosha, lakini baadhi ya uvimbe wakubwa huweza kuhitaji upasuaji. Yeah

*FALSE PREGNANCY (PSEUDOCYESIS), SIRI YA MWILI NA AKILI YA MWANAMKE...*Umewahi kusikia mwanamke akihisi dalili zote za u...
15/09/2025

*FALSE PREGNANCY (PSEUDOCYESIS), SIRI YA MWILI NA AKILI YA MWANAMKE...*

Umewahi kusikia mwanamke akihisi dalili zote za ujauzito, lakini vipimo vyote vikathibitisha hana mimba..? 🤔

Hali hii kitaalamu huitwa Pseudocyesis au False Pregnancy....

*Ipo hivi...*

Mwili wa mwanamke unaweza kuiga dalili zote za mimba kukosa hedhi, kuvimba matiti, kichefuchefu, tumbo kukua..kwa sababu ya nguvu ya akili (mind body connection) na mabadiliko ya homoni....

*Sababu kuu zinazochochea hali hii..*

↳ Msongo wa mawazo unaohusiana na hamu kubwa ya kupata mtoto...

↳ Hofu ya mimba (kwa wengine) inaweza pia kuibua dalili hizo.

↳ Mabadiliko ya homoni yanayochochewa na ubongo kutokana na imani ya kina kwamba kuna mimba.

↳ Shinikizo la kijamii au kifamilia linalomfanya mwanamke kuamini au kuhitaji ujauzito kwa nguvu....

*Dalili kuu zinazojitokeza..*

↳ Hedhi kusimama kwa miezi kadhaa.

↳ Tumbo kuongezeka ukubwa.

↳ Kuhisi mtoto anasogea tumboni.

↳ Matiti kujaa na hata kutoa majimaji.

*Lakini kiuhalisia 👉 Hakuna mimba tumboni...*

Pseudocyesis hutufundisha kitu cha kipekee sana.

Akili na mwili wa binadamu vina uhusiano mkubwa kupita tunavyodhani...

Mwanamke anaposhikilia imani kubwa ya ujauzito, ubongo huamuru mwili uanze kuhisi ujauzito wa uongo...

*NB:* Hali hii siyo maigizo, siyo udanganyifu, Ni ugonjwa wa kisaikolojia unaohitaji msaada wa kitaalamu kutoka kwa daktari na mwanasaikolojia...

*Hii ndiyo maana katika tiba, tunasema, "Mwili hujibu kile akili inachoamini" K**a upo sambamba na elimi katika jukwa hili Nipe LIKE 🫡*
Dr MURTADHA 0714219739

🇹🇿 ... 💌*✍️ *UKIONA DALILI K**A ZILIVO ORODHESHWA HAPO CHINI  NI DHAHIRI KUWA UNA HITAJI KUPATA VIRUTUBISHO HARAKA  JUU ...
22/08/2025

🇹🇿 ...
💌*✍️ *UKIONA DALILI K**A ZILIVO ORODHESHWA HAPO CHINI NI DHAHIRI KUWA UNA HITAJI KUPATA VIRUTUBISHO HARAKA JUU YA UWEZO WAKO WA NGUVU ZA KIUME* 💌
👉UUME KULEGE KILA UKIJARIBU KUBADIRSHA STYLE

👉UUME KULEGEA BAADA YA KUMALIZA SAFARI YA KWANZA

👉KUPATA BAO LENYE MAUMIVU HASA KUANZIA BAO LA PILI NA KUENDELEA
👉KUKOSA HISIA KABISA MARA BAADA TU YA KUFIKA KILELENI
👉KUCHOKA SANA BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
👉UUME KUTOSIMAMA VIZURI AKIWEPO MWENZA WAKO LAKINI AKIONDOKA UNA SIMAMA VIZURI
👉KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KUREJEA TENDO

👉KUSHINDWA KUMWANDAA MWENZA WAKO KUHOFIA KUWA UTAWAHI KUFIKA KILELENI KABLA YA TENDO
👉KUTOA MBEGU HAFIFU KIASI KWAMBA UNA SHINDWA KUMPA UJAUZITO MWENZA WAKO
👉KUCHELEWA SANA KUFIKA KILELENI NA UKIFIKA UNA PATA MAUMIVU MAKALI
👉KUWA NA UUME MDOGO( KIBAMIA)

*K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO,PIGA 0714219739

DALILI 4 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI: ZIFAHAM MAPEMAKwa kawaida Mwanamke Kila Mwezi Hutoa mayai ambayo yana zarishwa k...
22/08/2025

DALILI 4 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI: ZIFAHAM MAPEMA
Kwa kawaida Mwanamke Kila Mwezi Hutoa mayai ambayo yana zarishwa katika vifiko maaalum yani O***y, na baada ya kuzarisha yanatolewa na kupita katika mirija ya uzazi ambayo tunaiifa Fallopian Tubes, K**a mayai hayo yatakutana na mbegu ya kiume basi mimba itapatikana, Na k**a hayatakutana na mbegu ya kiume basi Yatafika hatua yatapasuka na hapa ndipo tuna sema mama ameingia hedhi
✍️Zipo sababu mbalimbali ikiwepo maambukizi ya bacteria katika mfumo wa uzazi, yani PID ambayo hufanya kutengenezeke utando wa maji maji ambao kitaalam tunauita Hydrosalpinx, Utando huu unaenda kuziba njia ambayo yai linapita na hapa ndipo mama hautaweza kushika mimba na ukipima utaambiwa mirija yako imeziba.
DALILI ZA TATIZO HILI NI CHACHE
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na pembeni kwenye mrija uliovimba
2. Kutoka na uchafu ukeni
3. KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Hizo ndio Dalili Kuu, Na tiba Za tatizo hili zipo za Asili na zipo za kuziburiwa kwa njia za hospital hivyo unapopata changamoto hii wahi mapema.
✍️Kwa unaependa Tiba Asili, yani kutibu bila kuziburiwa kwa njia za hospital karibu 0714219739 vizuri, kisha utalipia huduma na kupata tiba na ushauri juu ya hili. Karibuni sana

16/08/2025

YA_KUSAMBAZA_TAARIFA
Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited

Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone.
NOTE:
* Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone
* Uwe zanzibar tu
* Uwe na bidii ya kazi
* Elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo

MALIPO
* Malipo yapo ya aina mbili (Malipo ya kila siku na kila mwisho wa mwezi) yote utapata.

Walio kuwepo zanzibar

Wote mnakaribishwa, Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
0714219739

Address

Kwerekwe
Zanzibar

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram